DAKTARI
wa meno Anorld Rimo (umri wa miaka kati ya 30 hadi 40) wa hospitali ya
Sabasaba manispaa ya Morogoro, amekutwa amejinyonga katika nyumba ya
kulala wageni ya Camel iliopo Kihonda. Kamanda wa polisi mkoani hapa Faustine Shilogile alisema kuwa tukio hilo limetokea Mei 22 saa 10 alfajiri katika
nyumba hiyo ya kulala wageni.Alisema
Daktari huyo alikuwa amepanga katika nyumba
↧