Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

DAKTARI AJINYONGA NA KUFA NDANI YA GESTI HUKO MOROGORO

$
0
0
DAKTARI wa meno Anorld Rimo (umri wa miaka kati ya 30 hadi 40) wa hospitali ya Sabasaba manispaa ya Morogoro, amekutwa amejinyonga katika nyumba ya kulala wageni ya Camel iliopo Kihonda. Kamanda wa polisi mkoani hapa Faustine Shilogile alisema kuwa tukio hilo limetokea Mei 22 saa 10 alfajiri katika  nyumba hiyo ya kulala wageni.Alisema Daktari huyo alikuwa amepanga katika nyumba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles