WAKATI hali ikizidi kuwa tetea Mkaoni Mtwara kufutia Mapigano
yaliyoanza jana Mkoani humo Rais Kikwete amevunja ukimwa wake na kutoa
amri wahusika wakuu wa tukio hilo kusakwa mara moja.
Akizungumza katika eneo la Kizota, Dodoma wakati wa kuweka jiwe la
msingi la ujenzi wa Barabara ya Dodoma kwenda Iringa, Rais Kikwete alisema wote waliohusika na vurugu hizo watasakwa na
↧