SHAHIDI wa tano katika kesi ya kutorosha wanafunzi inayomkabili
Mchungaji wa Kanisa la TAG, raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo
(DRC), Jean Felix Bamana ameieleza mahakama namna alivyolazimishwa
kufanya mapenzi na mchungaji huyo.
Shahidi huyo, Angela Swai (19), akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu,
Naomi Mwerinde wa Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, alisema Mchungaji
huyo
↧