Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WACHOMEWA NYUMBA WAKIDAIWA KUIBA KWENYE GARI LILILOPATA AJALI

$
0
0
NYUMBA sita katika eneo la Mbwewe wilayani Bagamoyo mkoani Pwani zimeteketezwa kwa moto na watu. Inaelezwa kuwa hatua hiyo imechukuliwa baada ya kudaiwa kuwa wakazi wa nyumba hizo walihusika na wizi wa marobota na viatu yaliyokuwamo katika gari ya Fuso iliyopata ajali katika eneo hilo.    Gari hiyo ilipata ajali katika eneo la Mbwewe katika barabara ya Chalinze- Segera baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>