Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Huyu ndo kijana aliyekamwa na Mwakyembe akisafirisha madawa ya kulevya Airport

$
0
0
Habari ambayo imeripotiwa na ITV inadai  kwamba baada ya siku moja ya ziara ya kushtukiza ya Waziri wa uchukuzi Dk. Harison Mwakyembe kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar-es-Salaam, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa uwanjani hapo katika harakati za kusafirishwa kwenda nchi za nje. Aliekamatwa ni kijana ambae alikua anazisafirisha hizo dawa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>