Hali
imezidi kuwa mbaya katika Mji wa Mtwara na hivi punde watu wanaendelea
kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya mji huo.
Jengo moja ambalo
linadaiwa kumilikuwa na CCM limechomwa moto katika eneo la Majengo na
daraja linalounganisha Lindi na Mtwara limevunjwa.
Mbali na hayo pia
nyumba ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC)imechomwa
moto.
Katika
↧