Hivi karibuni tuliandika habari kuhusu kundi linaloundwa na vijana
wanne wenye vipaji kutoka Kenya linalofahamika kama Camp Mulla kumpoteza
member mmoja ambaye ndio aliyekuwa msichana pekee katika kundi aitwaye
Miss Karun.
Mwanzo ulianza kama uvumi kuwa Miss Karun amepigwa chini na kundi
hilo na nafasi yake kuchukuliwa na msichana mwingine aitwaye Tiri,
lakini habari mpya habari
↧