VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa
yanayosadikiwa ni ya kulevya ‘unga’ nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Agness
Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa alijua watu wengi watafurahia
kilichompata kwa kumuongelea kila wakati.
Akizungumza na mwanahabari wetu kwa njia ya simu akiwa Sauzi, Masongange
‘alishauti’ kuwa watu wengi wanamuongelea vibaya bila kujua nini
↧