Wanafunzi 117 wa Polisi,
wamefukuzwa katika Chuo cha Taaluma na Mafunzo ya Polisi (MPA),
kilichopo Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Waliotupiwa virago
na kufutwa kwenye kozi hiyo ni wale waliopoteza sifa za kuendelea na
mafunzo ya kijeshi baada ya kukutwa na makosa ya utovu wa nidhamu, utoro
na matatizo ya kiafya.
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Matanga
Mbushi, ambaye ni mkuu wa
↧