Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

POLISI 117 WATIMULIWA KAMBINI KWA UTOVU WA NIDHAMU

$
0
0
Wanafunzi 117 wa Polisi, wamefukuzwa katika Chuo cha Taaluma na Mafunzo ya Polisi (MPA), kilichopo Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.  Waliotupiwa virago na kufutwa kwenye kozi hiyo ni wale waliopoteza sifa za kuendelea na mafunzo ya kijeshi baada ya kukutwa na makosa ya utovu wa nidhamu, utoro na matatizo ya kiafya. Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Matanga Mbushi, ambaye ni mkuu wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>