Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

FREEMAN MBOWE ATIWA MBARONI KWA TENA

$
0
0
Mwenyekiti wa Taifa Chadema na Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman Mbowe le amekamatwa na Jeshi la polisi nchini na kuwekwa chini ya ulinzi mkali  kwa takribani masaa matatu. Taarifa zinadai kwamba, Mbowe alitiwa nguvuni na polisi  baada ya kuwatuhumu  kuhusika na mlipuko wa bomu la arusha katika mkutano wa CHADEMA. Kuachiwa huru kwa Mbowe kumetokana na majadiliano ya kina kati ya polisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>