Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameagiza Wizara za Serikali zinahusika
na kodi na mawasiliano pamoja na makampuni ya simu za mikononi nchini
kukutana mara moja kutafuta jinsi gani ya kumaliza mvutano wa kodi mpya
ya kadi za simu hizo za mikononi.
Rais
kikwete ametoa maelekezo hayo jioni ya leo, Jumanne, Julai 23, 2013
wakati alipokutana na
↧