Mrembo na mwanamuziki wa kike nchini,
Linah Sanga amezikanusha ripoti zilizosambazwa leo kuwa amebakwa na
rapper Kimbunga na kudai kuwa ameshangazwa mno na taarifa hizo.
Taarifa hizo zimeanza kusambazwa leo
mchana baada ya akaunti ya Facebook inayoonekana kuwa ya rapper Kalapina
yenye jina ‘KalApina Kikosi Cha Mizinga’ kuandika:
“Mtoto kimbunga amechamba ana leta usela
mavi mambo ya
↧