Wakati Serikali imeeleza nia yake
ya kuangalia upya utozaji wa kodi ya kila mwezi kwenye laini za simu za
mkononi, imeeleza pia mpango wa kufunga mtambo maalumu ili kubaini
malalamiko ya kampuni za simu kudaiwa kuiba fedha za watumiaji.
Katika kile
kinachoonesha kusikiliza kilio cha wananchi, Serikali imesema inapitia
maoni na mapendekezo yaliyotolewa na wadau ili kuiangalia upya sheria
↧