Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini imesema karibu
nusu ya watu waliojitokeza kupima vinasaba (DNA) ili kubaini uhalali wa
watoto wao, vipimo vimeonesha si wazazi halisi wa watoto waliopimwa.
Takwimu
hizo ni kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2010, ikionesha
kuwa, asilimia 48.32 ya wazazi 'wanalea' watoto wasio wa kwao wakati
asilimia 51.68 ndio wazazi halali.
Hayo
↧