Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), kimeamua kuachana na kuwania umeya wa Jiji na badala yake
kimemwomba Meya, Gaudence Lyimo (CCM), atende haki.
Katibu wa
Kanda ya Kaskazini wa chama hicho, Amani Golugwa alisema jana, kwamba
Chadema haina uroho wa madaraka kama baadhi ya watu wanavyofikiri, bali
inasimamia vipaumbele vya maendeleo.
Hata hivyo, kauli hiyo
inapingana na
↧