Waziri wa Fedha, William Mgimwa,
amesisitiza uamuzi wa Serikali kuendelea kutoza Sh 1,000 kwa kila mwezi
kwa laini ya simu, licha ya kampuni za simu na wanasiasa kupinga.
Akizungumza
na mwandishi juzi, Mgimwa alikumbusha wanaolalamikia kodi hiyo, kwamba
suala la ulipaji kodi kwa taasisi au watu binafsi, ni la kisheria
kulingana na mapato yao na hali halisi iliyopo.
Pia alieleza
↧