Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dkt. Magufuli Aongoza Wananchi Kwenye Majaribio ya Uzinduzi wa Kivuko cha MV Dar es Salaam( Dar -Bagamoyo)

$
0
0
Kivuko cha Mv Dar es Salaam, kinachotarajiwa kutoa huduma ya usafirishaji wa abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo, jana kilifanyiwa majaribio ya safari ambapo kilitumia saa tatu, huku ikielezwa kwamba kitakapoanza kutoa huduma kitatumia saa mbili kwa safari moja. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa Kivuko hicho, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, alisema wamekifanyia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>