Kobe wadogo 250, wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda Malaysia.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkadam Khamis Mkadam, alisema kobe hao walikamatwa wakiwa wamehifadhiwa katika masanduku yaliyowekwa maembe ndani yake, katika hatua za mwisho za kusafirishwa.
“Ni kweli tumekamata kobe
↧