Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijana Akana Kubaka Na Kumpa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 16

$
0
0
Mkazi wa Tabata, Erasto Clement (22) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala na kukana mashitaka ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 16. Akisomewa maelezo ya awali jana, Wakili wa Serikali Felista Mosha alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan kuwa katika tarehe na mwezi usiofahamika, mwaka jana, Clement pamoja na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles