Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Urais 2015: Hatima ya KIFUNGO cha Akina Lowassa, Membe na Wengine Kujulikana Leo baada ya Kikakoa cha Kamati Kuu ya CCM (CC)

Kamati Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema. Vigogo ambao tathmini ya mwenendo wao inasubiriwa baada ya kikao hicho ni pamoja na waliokuwa mawaziri wakuu, Edward Lowassa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>