Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto wa vigogo marufuku kupewa vizimba Mwanjelwa

$
0
0
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amepiga marufuku watoto wa vigogo wa serikali, mashirika binafsi, taasisi , madiwani na wanasiasa wengine kupewa vizimba vya biashara katika soko kuu la kisasa la Mwanjelwa mkoani humu, kuruhusu waliounguliwa bidhaa kwenye soko la awali wapate nafasi.   Akihutubia maelfu ya wananchi katika eneo la soko hilo kwenye halmashauri ya Mbeya Mjini, baada ya kuweka jiwe

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles