Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JWTZ wapewa mafunzo kukabili majanga ya moto

$
0
0
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kambi ya Ihumwa mjini hapa wamepatiwa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto na uwezo wa kukabiliana na matukio ya moto.   Kutokana na mafunzo hayo sasa Jeshi hilo kupitia Kambi yake ya Ihumwa litaanza kutoa huduma za kuzima moto kutokana na kuwa na gari kwa ajili ya shughuli hiyo.   Hayo yalibainika jana wakati wa kufungwa kwa mafunzo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>