Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TRA yasisitiza usajili wa pikipiki ndani ya muda.....Usajili huo ni wa namba mpya zinazoanza na MC

$
0
0
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewakumbusha wamiliki wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuzifanyia usajili kwani watakaoshindwa kufanya hivyo ndani ya muda uliopangwa watachukuliwa hatua za kisheria.   “Tunawaomba na kutoa mwito kwa wamiliki wa pikipiki kutii sheria na kusajili namba mpya kabla Machi 31, 2015,” alisema Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Mlipa Kodi wa TRA Richard Kayombo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>