Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyeuwawa wakati wa mapambano yalioyotokea juzi mkoani Iringa kati yao na polisi kwa masharti mawili:
Mosi: Wananchi 18 Waliokamatwa na jeshi la polisi baada ya vurugu hizo waachiwe mara moja bila masharti yoyote.
Pili: Polisi walio sababisha mauaji hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria .
Katika tukio
↧