Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa Wagoma Kupokea MAITI Aliyeuawa na Polisi

$
0
0
Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyeuwawa wakati wa mapambano yalioyotokea juzi mkoani Iringa kati yao na polisi kwa masharti mawili:   Mosi: Wananchi 18  Waliokamatwa  na  jeshi la polisi  baada  ya vurugu  hizo  waachiwe  mara  moja  bila  masharti  yoyote. Pili: Polisi walio sababisha mauaji hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria . Katika tukio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>