Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Jijini Arusha Wadaiwa Kumvunja Mikono Raia....Ni baada ya kukodiwa na mfanyabiashara aliyekuwa anamdai mtuhumiwa sh.250,000

$
0
0
MKAZI wa Loksale wilaya ya Monduli, Samwel Petro Shani(47) amelalamikia hatua ya kuvunjwa mikono yake miwili kwa kipigo cha askari polisi katika kituo cha Leskale kwa madai ya kushindwa kulipa deni ya shilingi 250,000 alizokuwa akidaiwa ana mfanyabiashara wa eneo hilo.   Aidha anawatuhumi askari hao kukodiwa na mfanyabiashara mmoja mkazi wa eneo hilo kwa lengo la kumshikisha adabu baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>