Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Aunt ezekiel amejikuta
akitoa maneno makali baada ya mashabiki wake kumshabulia kwa maneno
baada ya kuweka mtandaoni picha ikimuonyesha amevalia kinguo ambacho kwa
maoni ya mashabiki hao hakistahili kuvaliwa na mwanamke mjamzito na
kibaya zaidi alionekana mkononi ameshika chupa ambapo wengi waliiona kama
niyakilevi.
Aunty Ezekiel alibandika
↧