Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

EWURA Yapitisha Kanuni za Tozo Huduma ya Gesi

$
0
0
Bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA) imepitisha maombi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhusu kanuni za tozo za huduma ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia. Akizungumza na waandishi wa habari jijini,  Mkurugenzi Mkuu EWURA, Felix Ngamlagosi alisema TPDC iliiomba Ewura kuidhinisha vipengele vya kanuni ya kurekebisha  tozo za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles