Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Clouds Media Group Wakanusha Kuuzwa kwa Rostam Aziz

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Clouds Media Group, Joseph Kusaga amesema kuwa habari zilizoenea mtaani kwamba kampuni hiyo imeuzwa ni za uzushi na kuwataka Watanzania wazipuuze. Kampuni hiyo ambayo inamiliki Clouds FM, Clouds Tv na Choice FM ilidaiwa kuuzwa kwa Rostam Aziz ambaye ni  mmoja wa wafanyabiashara maarufu na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).   Kusaga (pichani) alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles