Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baba Mzazi wa Mtoto Albino Aliyeuawa Geita Atiwa Mbaroni

$
0
0
Mtoto Yohana Bahati mwenye ulemavu wa ngozi (albino), aliyetekwa katika Kijiji cha Ilelema wilayani Chato katika Mkoa wa Geita,  mwili wake umekutwa ukiwa umefukiwa huku umenyofolewa miguu na mikono. Polisi imesema baba mzazi wa mtoto huyo, Bahati Misalaba na mkazi wa kitongoji cha Mapinduzi katika kijiji cha Lumasa, wilayani Chato, wamekamatwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi.   Mwili wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>