Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwalimu Apandishwa Kizimbani kwa Kupora Mume wa Mtu

$
0
0
MWALIMU wa Shule ya Msingi Manga katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Mary Majilanga amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Utemini, mjini Singida kujibu shitaka la kukamatwa ugoni .   Katika kesi hiyo ya madai namba 8 ya mwaka huu, mshitakiwa Mary anatakiwa kulipa Sh milioni 8 za ugoni kwa kuishi kama mume na mke na mwalimu mstaafu, Julius Magandi ambaye imeelezwa ni mume

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>