Washitakiwa wa kesi ya mauaji ya mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi wameiomba Mahakama iwape haki ya kuwasikiliza.
Waliwasilisha ombi hilo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema wakati kesi hiyo ilipotajwa na Wakili wa Serikali, Leonard Challo kudai upelelezi bado haujakamilika.
Mshitakiwa Longishu Losingo
↧