Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"CCM ijiandae kuunda Serikali ya mseto".....Kuna uwezekano Mkubwa Wabunge wengi wakatoka Upinzani lakini Siyo Rais

$
0
0
Wapo wastaafu wengi wa Serikali ambao wanafuatilia kwa karibu nyenendo za siasa nchini, mmoja wapo ni Kanali Mstaafu Edmund Mjengwa (68) ambaye amekitahadharisha chama cha CCM kwamba kijiandae kwa Serikali ya mseto.   “Na endapo Rais atatoka CCM na wabunge wengi ndani ya Bunge wakawa ni wa upinzani, basi lazima Rais huyo akubali kufanya kazi na upinzani.   “Itabidi akubali kuunda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>