Wapo wastaafu wengi wa Serikali ambao wanafuatilia kwa karibu
nyenendo za siasa nchini, mmoja wapo ni Kanali Mstaafu Edmund Mjengwa
(68) ambaye amekitahadharisha chama cha CCM kwamba kijiandae kwa
Serikali ya mseto.
“Na endapo Rais atatoka CCM na
wabunge wengi ndani ya Bunge wakawa ni wa upinzani, basi lazima Rais
huyo akubali kufanya kazi na upinzani.
“Itabidi akubali
kuunda
↧