Lady Jaydee ametoa nafasi kwa mashabiki na followers wake wa
Instagram kumuuliza maswali na kuahidi kuyajibu. Miongoni mwa maswali
mengi aliyoulizwa ni pamaoja na kwanini hafanyi collabo na wasanii wa
kike, na kuhusu Ugomvi / Tofauti na watu (wasanii) /Radio na mpango wa
kupatana nao.
“Duuuh maswali yako mengi sana karibia 300 Ila ki ukweli yote
yanafanana So, what i will do I will
↧