Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hoteli Zafungwa Arusha kwa Kukosa Watalii

$
0
0
Baadhi ya hoteli za kitalii mjini Arusha zimefungwa, huku mishahara ya wafanyakazi ikipunguzwa kwa asilimia 25, kutokana na kukosa watalii. Akizungumza wakati wa tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya 2015, zilizoandaliwa na Chama  cha Mawakala wa Watalii Nchini (TATO), Mwenyekiti wa chama hicho, Willy Chambulo alisema hali ya biashara kwa miezi hii mbaya na kusababisha kufungwa kwa  baadhi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>