Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na 27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001.    Katika maadhimisho yaliyofanyika mwaka huu, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wanachama 32 wa chama hicho walipigwa kisha kushikiriwa na Jeshi la Polisi kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>