Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Zoezi la Kupigia kura Katiba inayopendekezwa Liko Pale pale"....Hii ni kauli ya Waziri Mkuu Leo Bungeni

$
0
0
Serikali imewahikikishia watanzania kuwa zoezi la uandikishwaji wa wapiga kura katika daftari la kudumu kwa mfumo wa kieletronik BVR litafanyika kwa ufanisi na ndani ya wakati uliopangwa.   Akijibu swali la kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe kuhusu uhakika wa zoezi hilo, Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda amesema tume ya uchaguzi imeihakikishia serikali kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>