Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi: Tulizuia Maandamano ya CUF Kuhofia Bunduki Zilizoibiwa Ikwiriri

$
0
0
Jeshi La Polisi limetoa sababu za kwanini lilizuia maandano ya wafuasi na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kwamba ni kutokana na kuibwa kwa bunduki saba katika kituo cha Polisi Ikwiriri wilayani Rufiji, mkoani Pwani ambazo pengine zingeweza kutumika katika mkusanyiko wa watu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>