Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wahudumu wa Mochwari huko Simiyu Wagoma Kuzika Maiti Iliyoharibika

$
0
0
Wahudumu wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.   Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa zimeshindikana kuzikwa.   Wakizungumza na waandishi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>