Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dr. Mwakyembe Aibua Mshituko.....Wasomi Wahoji Sababu za Kumwondoa Wizara ya Uchukuzi na Kumuweka Sitta

$
0
0
Wasomi na wananchi kadhaa jana walizungumzia mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete, wengi wakihoji sababu za kumhamisha Dk Harrison Mwakyembe kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.   Rais alifanya mabadiliko kwenye baraza hilo baada ya mawaziri wawili kuanguka kutokana na kashfa ya uchotwaji takriban Sh306 bilioni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles