Umbile la mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Avril kutoka Kenya
ambaye aliwahi kudaiwa kutoka kimapenzi na Mwanamuziki Nasibu Abdul
‘Diamond’, hivi karibuni lilionesha kumchengua msanii wa Bongo Fleva,
Omari Faraji ‘Ommy Dimpoz’ baada ya kutupia picha inayomuonesha
akikitolea macho kiwowowo cha demu huyo.
Ommy alifanya hivyo kupitia ukurasa wake wa Instragram baada kuiweka
↧