Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi wakosa Makazi baada ya Mabweni kuungua moto

$
0
0
Wanafunzi 64 wa kike wanaosoma kidato cha tano na cha sita katika shule ya sekondari ya Mpwapwa iliyopo mkoani Dodoma wamehifadhiwa katika mabweni ya chuo cha ualimu Mpwapwa kufuatia bweni lao kuteketea kwa moto juzi. Akithibitisha kutokea kwa moto huo mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Christopher Kangoye alisema kuwa wamelazimika kuwahamishia wasichana hao katika mabweni ya chuo cha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>