Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zaidi ya wanafunzi 600,000 wahofu kutopiga kura uchaguzi mkuu ujao.

$
0
0
Zaidi ya wanafunzi laki sita wa vyuo vikuu, vyuo vya kati na kidato cha nne nchini huwenda wasishiriki kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu ujao kutokana na ratiba ya wizara ya elimu kuhusu mihula ya kufunga na kufungua vyuo nchini kukinzana ya NEC. Ratiba ya mihula ya kufunga na kufungua vyuo ambayo imetolewa na Wizara ya Elimu mwaka huu, imeibua hofu kwa wasomi wa vyuo mbalimbali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>