Zaidi ya nyumba 200 zimezingirwa na maji katika Manispaa
ya Mtwara Mikindani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha
hasara kubwa ambayo thamani yake bado haijajulikana.
Kufuatia hali hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima
Dendegu ametoa saa 24 kwa wataalam kuhakikisha wanayaondoa maji ndani
ya makazi ya watu.
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wilaman Ndile amemwambia
mkuu
↧