Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wema Sepetu Hajampeleka Diamond Mahakamani Kwa Deni La Milion 10 – Martin Kadinda

$
0
0
Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amekanusha taarifa zilizoandikwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchini likiwemo gazeti la Mtanzania kuwa amempeleka Diamond polisi kwa kile kinachosemwa ni kumtapeli shilingi milioni 10.   Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo.   “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani. Kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>