Msanii anayefanya vizuri kunako kiwanda cha filamu
Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba tasnia ya filamu kwa sasa
inaonekana kama imeingiliwa na pepo mbaya kutokana na mambo kwenda
ndivyo sivyo kila kukicha.
Akizungumza na Gpl, Wastara alisema tasnia ya filamu imekuwa
ni ya migogoro, chuki huku bei ikishuka jambo ambalo siyo sahihi kwani
litawarudisha nyuma wasanii wakati hata
↧