KAMATI Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya
Mwenyekiti wake Philip Mangula, leo inawahoji makada wa chama hicho
waliopokea mgawo wa fedha za Escrow.
Makada ambao watawekwa kikaangoni kutokana na kupokea mgawo huo, ni
aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna
Tibaijuka, Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Wiliam
↧