Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Yakerwa na Viongozi wasiopenda Kujiuzulu

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha  Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana,  amewaagiza viongozi wa chama hicho kujenga tabia ya uadilifu katika kutekeleza majukumu yao ya kazi. Aliyasema hayo wakati akizungumza na wanachama wa CCM katika ziara yake ya kichama mkoa wa Magharibi.  Alisema sifa kubwa ya kiongozi  bora ni yule ambaye anawajibika ipasavyo, ikiwamo unapotokea ubadhilifu wakati wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>