Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewaagiza viongozi wa chama hicho kujenga tabia ya uadilifu katika kutekeleza majukumu yao ya kazi.
Aliyasema hayo wakati akizungumza na wanachama wa CCM katika ziara yake ya kichama mkoa wa Magharibi.
Alisema sifa kubwa ya kiongozi bora ni yule ambaye anawajibika ipasavyo, ikiwamo unapotokea ubadhilifu wakati wa
↧