MAMLAKA ya hali ya hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha katika maeneo ya Ukanda wa Pwani.
Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mamlaka hiyo, ilisema mvua hiyo itanyesha kwa zaidi ya milimita 50 ndani ya saa 24 kuanzia Januari 18 hadi 20 mwaka huu.
Maeneo ambayo yataathirika na mvua hizo ni Mikoa ya Ruvuma, Mtwara
↧