MKAZI wa Dodoma, Ramadhan Zuber ambaye alikuwa abiria kwenye basi la Champion amefariki dunia akiwa safarini.
Akizungumza na Mpekuzi mjini Kibaha, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alisema kuwa Zuber (29) alikuwa akisafiri toka Dar es Salaam kwenda Dodoma.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 16, saa 3:30 asubuhi katika kijiji cha chamakweza wilaya ya
↧