Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waislam na Wakristo Wafanya Kongamano la Amani......Wakubaliana Kutokashiana

$
0
0
VIONGOZI wa dini za Kiislamu na Kikristo nchini wamekubaliana kutoandaa mihadhara inayokashifu dini moja na nyingine, miongoni mwa madhehebu ya dini moja au kashfa baina ya waumini na waumini.   Lengo la makubaliano hayo ni kudhibiti madhara ya mihadhara hiyo ambayo imeonekana inachangia uchochezi wa ugaidi na uvunjifu wa amani.   Katibu Mkuu wa Taasisi ya Mashehe na Wanazuoni wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>